Brice Juliusjoram

Jumanne, 6 Desemba 2016

PENDO LA YESU

Yesu anipenda mno mpaka kaniokoa kwa kunitoa katika maangamizo ya adui,kanipandisha juu kanitoa chini,hivyo sifa na utukufu umrudie yeye mwana wa ADAM.Nina kushukuru MUNGU kwa UPENDO WAKO WA AGAPE hakuna mwingine awezaye kama .

          THANKS MY LORD.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni