Brice Juliusjoram

Jumatano, 7 Desemba 2016

THE VICTORY OF GOD

Ni pale unapohisi kuwa umeshinda kwa kila dhambi inayo kuandama ama majaribu ya kutisha,lakini usiogope maana aliyekuumba ni mkuu sana kuliko vyote, kama unabisha  basi OKOKA Uone ukuu wake Bwana wa Majeshi,Napenda kukushauri kuwa lolote ulifanyalo liwe jaribu kumshirikisha Muumba wako, wala si mwanadamu,naamini utapiga hatua kubwa katika maisha yako,
Kwa maana Mungu anakuwazia mema kwa kila wakati, mjue sana Mungu wako upate amani ndani ya maisha yako.
  Aa
           MUNGU AKUBARIKI SANA.