Napenda kuwakaribisha katika siku ya Christ mass .Ni Sikh ambayo mkombozi wetu Bwana Yesu Kristo kazaliwa kwahiyo wakiristo wote Duniani twapaswa kuungana kwa pamoja ili kusherehekea sikukuu hiyo ya tarehe 25™. Mungu atuwezeshe wote ili tuweze kuhudhuria ibaada na kujua mengi kutoka kwa watumishi Wa Mungu.Mungu atubariki sana .
................By................
>>>>BRICE J.JORAM<<<<